IQNA – Mazishi ya Shahidi Sayed Hassan Nasrallah si tukio la kupita tu, bali ni ushahidi kwamba mashujaa hawafi bali wanakuwa wahusika wa kudumu na kuishi katika kumbukumbu za watu.
Habari ID: 3480257 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/23
Muqawama
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma salamu na ujumbe maalumu kwa mnasaba wa kufanyika mazishi na maziko ya Mwanajihadi mkubwa Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah na Shahidi Sayyid Hashem Safiyyuddin na kusisitiza kuwa: "adui ajue kwamba, Muqawama wa kukabiliana na ughasibu, dhulma na uistikbari si wa kumalizika; na kwa idhini ya Allah utaendelea hadi ufikie lengo ulilokusudia".
Habari ID: 3480256 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/23
IQNA – Wageni rasmi na wasio rasmi kutoka nchi mbalimbali wamewasili katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut, kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa katibu mkuu wa Hizbullah, Sayed Hassan Nasrallah.
Habari ID: 3480255 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/22
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
IQNA-Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amezungumzia mazishi yajayo ya shahidi Sayyid Hassan Nasrallah na kusema: alikuwa mtu mwenye heshima na aliuletea umma wa Kiislamu heshima. Alikuwa shakhsia mashuhuri ambaye alikuwa nafasi muhimu katika kuondoa migogoro na kuimarisha mshikamano katika umma wa Kiislamu
Habari ID: 3480250 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/21
Muqawama
IQNA - Tarehe itatangazwa hivi karibuni kwa ajili ya mazishi ya marehemu kiongozi wa Hizbullah Shahidi Sayed Hassan Nasrallah, mbunge wa Lebanon alisema.
Habari ID: 3479816 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/27
Muqawama
IQNA – Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, kaskazini-mashariki mwa Iran, imeandaa khitma katika eneo hilo takatifu kwa mnasaba wa siku ya Arubaini tokea auawe shahidi kiongozi wa zamani wa Hizbullah Sayyid Hassan Nasrallah.
Habari ID: 3479734 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/11
Muqawama
IQNA-Waziri wa Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu wa Iran, amesema kwamba Shahidi Hassan Nasrallah alikuwa shakhsia mwenye kutafakari na kuchambua mambo ipasavyo na kuongeza kuwa: Shahidi huyu wa ngazi ya juu alikuwa ni mchanganyiko adimu wa uwezo wa fikra na kutenda."
Habari ID: 3479724 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/09
Muqawam
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei ametoa pongezi kwa mashahidi wa muqawama (mapambano ya Kiislamu) na kusema kwamba wameleta heshima katika kambi ya muqawama.
Habari ID: 3479715 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/07
Muqawama
IQNA - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema uungaji mkono wa nchi za Magharibi kwa vita vya mauaji ya kimbari vya Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza umefichua unafiki wao na nukata hiyo inaashiria kushindwa kukubwa kwao.
Habari ID: 3479638 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/23
Jinai za Israel
IQNA-Ndege za kivita za utawala ghasibu wa Israel zimefanya mashambulizi makali dhidi ya miji na vijiji vya Lebanon na kuua takriban watu 274.
Habari ID: 3479478 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/23
Muqawama
IQNA-Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, Yahya Sinwar amemuandikia barua kiongozi wa harakati ya Hizbullah Sayyed Hassan Nasrallah, akiahidi kwamba harakati hiyo ya muqawama au mapambano ya Kiislamu "itasalia imara" katika njia ya kuushinda utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3479428 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/13
Muqawama
IQNA Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayed Hassan Nasrallah amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unaiomba Marekani kuulinda kwani mashambulizi ya Iran na Hizbullah ya kulipiza kisasi mauaji ya hivi karibuni ya utawala huo yanakaribia.
Habari ID: 3479239 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/07
Muqawama
IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, katika kambi ya muqawama, wakuu na makamanda wa kambi hiyo hawajifichi bali wako katikati ya medani ya mapambano na wanakufa shahidi kwenye medani hiyo.
Habari ID: 3479210 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/02
Muqawama
IQNA-Kiongozi wa harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon ametaka juhudi za kimataifa za kuutokomeza utawala wa Kizayuni, akisema ni utawala huo ni 'uvimbe wa saratani" ambao lazima uondolewe.
Habari ID: 3478910 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/01
Muqawama
IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuhusu mashambulizi ya kinyama yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko Rafah kusini mwa Ukanda wa Ghaza kwamba, jinai hiyo ya kutisha uliyofanya utawala huo ghasibu inapasa iwaamshe na kuwatoa kwenye usingizi wa mghafala watu waliojisahau duniani na walioshindwa kuwa na msimamo.
Habari ID: 3478901 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/29
Taazia
IQNA - Makundi ya kupigania ukombozi wa Palestina yametuma salamu za rambirambi kwa Katibu Mkuu Sayed Hassan Nasrallah kwa kuondokewa na mama yake mzazi.
Habari ID: 3478885 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/26
Mrengo wa Muqawam
IQNA- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah amesema, haki ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kutoa jibu kwa uchokozi uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa kushambulia ubalozi wake mdogo mjini Damascus ni haki yenye uhalali wa kisheria.
Habari ID: 3478656 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/09
Siku ya Quds
IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema mhimili wa muqawama una uhakika wa kupata "ushindi mkubwa" katika vita vyake vinavyoendelea dhidi ya utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3478636 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/06
Kadhia ya Palestina
IQNA-Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka huu ni tofauti na miaka iliyopita, na kwamba operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa imemweka adui Mzayuni kwenye ukingo wa shimo la mauti.
Habari ID: 3478629 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/04
Kadhia ya Palestina
IQNA- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa: "Kusimama kidete na kishujaa wanamuqawama au wanamapamano wa Wapalestina wa Gaza, ni matukio ambayo yanakaribiana na muujiza, na yote haya yametokana na utamaduni wa Qurani na dalili zake tukufu kwa ulimwengu wote."
Habari ID: 3478513 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/14